Wednesday, 15 July 2015
Tuesday, 14 July 2015
MKUU WA WILAYA YA KINONDONI, PAUL MAKONDA IDD MOSI KUZINDUA CLUB MPYA YA MAISHA BASEMENT ZAMANI NEW MAISHA CLUB
Mratibu wa Burudani wa Club mpya ya 'Maisha Basement' zamani New Club Maisha pamoja na Maisha Club za Tanzania, Hemed Kavu (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, kuhusu uzinduzi wa Club hiyo utakaofanyika Idd Mosi katika Jengo la LAPF Towers lililopo mkabala na Makumbusho ya Taifa eneo la Kijitonyama ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda. Kulia ni Meneja Mkuu wa Miasha Club za Tanzania, Allan Ngugi na Kushoto ni Meneja Uendeshaji wa Maisha Basement, Sam Kaliuki.
Mratibu wa Burudani wa Club mpya ya 'Maisha Basement' zamani New Club Maisha, Hemed Kavu (katikati), akizungumza katika mkutano huo. Wa kwanza kushoto ni Meneja wa Burudani, pamoja na Geofrey Gilla na wa kwanza kulia ni Afisa Mahusiano wa Maisha Club pamoja na Maisha Basement, Omary Sharifu
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgWDCd3Xu9qzhSnn5wz9EnlfJaqQm_YskLo8VEaMN5CEpQKDbfmZIl5ztvs_dCSwiFvV2gwJDIBZUfRhFlF0ZXuO4q09Vuw4XoeqzBgSJdSpLjGNQ1Mc51nvZUeI_Y5MAiLHH6zMmtW9FtW/s640/DSC_0149.JPG)
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj-Q_Tcwb8KB1QMcFUByYxlUWeOS9uzRF1PJ6808ngvFrGtPqIEXpPaaG8jQUlvD0ljq0gCTOLVjD22JWz87geKGrIbHFu7yuNCOd3nos6MF8pgpuJfqMQmqowM2cUnlhaMmecgPZlasgs/s640/3.JPG)
Afisa Mahusiano wa Maisha Club pamoja na Maisha Basement, Omary Sharifu, akiwaonesha wanahabari ukumbi huo.
Meneja Mkuu wa Maisha Club Tanzania , Allan Ngugi (kulia), akiwakwenye picha ya pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Maisha Club pamoja Maisha Basement, Jean Claud Ciza wakati wa utambulisho wa uzinduzi club ya Maisha Basement kwa wanahabari.
Sunday, 14 June 2015
Sunday, 3 May 2015
UZINDUZI WA VIDEO MPYA YA BABY MADAHA NA BELLA FASTA WAFANYIKA NDANI YA MAISHA CLUB JIJINI DAR
Luteni Kalamakutoka kundi la kundi la Gangwe Mobb akitoa burundani kwenye uzinduzi wa video mpya iitwayo mpya MIMI ndani yya Maisha Club usiku wa kuamkia leo
Mc Koba kutoka kundi la watu poli akitotoa burudani ndani ya maisha Club kwenye usiku wa uzinduzi wa Video mpya iitwayo MIMI ndani yya Maisha Club usiku wa kuamkia leo
Nasri akitoa burudani
Baby Madaha pamoja na madansa wake wakitoa burudani ndani ya Maisha Club usiku wa kuamkia leo
Baby Madaha akiendelea kutoa burudani
Ilikuwa ni noma sana ndani ya Maisha Club maana ilikuwa ni shangwe
Bela Fasta akitoa burudani wakati wa uzinduzi wa video yake mpya ndani ya Maisha Club
Bela Fasta akiendelea kutoa burudani huku madansa wake wakiendelea kutoa burudani kwa mashabiki wake waliofika ndani ya Maisha Club kutazama shoo hiyo
Mwanamziki wa kizazi kipya Bela Fasta pamoja na Baby madaha wakitoa burudani kabla ya kuzindua video yao mpya
Utambulisho wa ngoma yao mpya MIMI hapo ni Baby madaha bella fasta, na Nasri
Tuesday, 24 February 2015
Monday, 12 January 2015
PICHA: YALIYOJIRI KWENYE SHOO YA USIKU WA UNYAMA UNYAMANI ( TID NA CHID BENZ)
Msanii mahiri wa muziki wa kizazi kipya, Khaleed Mohamed 'TID' akiwa kwenye red Carpet kwenye shoo ya yake iliyofanyika ndani ya New Maisha Club ya jijini Dar
Msanii wa Hip Hop, wakazi akitoa burudani
Msanii wa Hip Hop, Kalapina akitoa burudani kwenye shoo ya T.I.D
Msanii Khalid Mohamed aka TID (Top in Dar) akitoa burudani ya nguvu ndani ya Club ya New Maisha jijini Dar
TID akiimba pamoja na mashabiki wake
Msanii TID akiendelea kutoa burudani ya nguvu na kushoto ni Msanii wa Bongo Jay Moe
Msanii wa Bongo Jay Moe akitoa burudani kwa mashabiki kwa kuwaimbia nyimbo za zamani
TID akiimba na mmoja wa wasanii wanaounda kundi la Yakuza Mob, Gilla the Boss
Gilla the Boss akiendelea kutoa burudani
Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Chidi Benz akitoa burudani ya nguvu kwenye stage ya New Maisha Club jijini Dar
Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Chidi Benz (kulia) akiimba na msanii mwenzake TID
Msanii mahiri wa muziki wa kitambo kwenye muziki wa Bongo Flaver, Khaleed Mohamed 'TID' (wa kwanza kulia) akiwa na Dully Sykes(wa pili kutoka Kulia), Msanii wa Bongo Jay Moe (wa pili kutoka kushoto) pamoja na Solo Thang (kushoto)
Baadhi ya mashabiki waliofika kutizama shoo hiyo wakifuatilia kwa umakini
Sunday, 28 December 2014
USIKU WA USWAZI NA WASWAZI WENYEWE YAFANYIKA DAR LIVE
Kundi la Umeme wakifanya yao stejini kwenye shoo ya usiku wa waswazi.Picha na Pamoja Blog
Kundi la Yakuza Mobb wakitoa burudani ya nguvu.
TID a.k.a "Mnyama" akitoa burudani ya nguvu kwenye shoo ya usiku ya uswazi na waswazi wenyewe
Chid Benz akiimba na mashabiki wake
Kala Pina a.k.a “Mbuge Mtarajiwa’’ akitoa burudani ya nguvu ndani ya Dar Live
Msanii Inspector Haroun a.k.a Babu akiwapagawisha mashabiki wake kwa ngoma za kitambo.
Mkaanga Sumu akifanya ya kwake kwenye stage
Baadhi ya mashabiki waliofika kwenye shoo ya Usiku wa Uswazi na wasaswazi wenyewe
Wadau wetu wakiwa kwenye picha za pamoja
Subscribe to:
Posts
(
Atom
)