Huyu aliyekuwa mbele ndio mshindi namba moja MISS T.I.A iliyofanyika NEW MAISHA CLUB DAR-ES-SALAAM ijumaa ya jana 10,may,2013
- Hawa ndio washindi wa shindano lakumtafuta MISS&MR T.I.A iliyofanyika kwa mara ya kwanza CLUB MAISHA DAR-ES-SALAAM na hawa ndio waliibuka kuwa washindi usiku huo kwa kifupi usiku huu ulipendeza sana watu waliohudhuria walipata raha zote sababu usiku huu ulijaa watoto wazuri wengi na handsome boyz wengi waliofika walienjoy sana....
0 comments :
Post a Comment