Yakuza

Yakuza

blog

blog

EXTREAM

tangazo

tangazo

TANGAZA NASI

Tuesday, 28 May 2013

R.I.P ALBERT MANGWEAR DAAH ALBERT MANGWEAR AFARIKI DUNIA JOHANSBURG SOUTH AFRIKA LEO HIII...


 Rapper CHID BENZ ndio alifanya ngoma pamoja ya 120 yaani mia ishirini humu ALBERT MANGWEAR aliongea vitu vingi sana ukiwemo mstari huu HATA NIKIFA LEO PENGO LANGU HALINA SPEAR .. huu mstari alipita ngwear katika ngoma hyo ...daaah R.I.P ALBERT MANGWEAR ....

Friday, 10 May 2013

MISS&MR T.I.A @CLUB MAISHA DAR-ES-SALAAM IJUMAA YA TAR 10,MAY,2013 .....

 Huyu aliyekuwa mbele ndio mshindi namba moja MISS T.I.A iliyofanyika NEW MAISHA CLUB DAR-ES-SALAAM ijumaa ya jana 10,may,2013






  •  Hawa ndio washindi wa shindano lakumtafuta MISS&MR T.I.A iliyofanyika kwa mara ya kwanza CLUB MAISHA DAR-ES-SALAAM na hawa ndio waliibuka kuwa washindi usiku huo kwa kifupi usiku huu ulipendeza sana watu waliohudhuria walipata raha zote sababu usiku huu ulijaa watoto wazuri wengi na handsome boyz wengi waliofika walienjoy sana....


JUMAPILI HII CLUB MAISHA DAR MH TEMBA NA MKEWE BI-CHEKA PIA TUNDAMAN,MADEE,ASLAY BIRTHDAY KICK...


Tuesday, 7 May 2013

KALAPINA VS CHID-BENZ JUU YA JUKWAA LA USIKU WAKIKOSI CHA MIZINGA@CLUB MAISHA DAR....

  •  DVJ OMMY CRAZ akiwa na KALAPINA kutoka KIKOSI CHA MIZINGA siku ambayo alimpiga makonde matatu King of HIP HOP Chid-Beenz katika jukwaa la usiku wa KIKOSI.

GLLA THE BOSS ndio MC aliyeporwa mic na Rapper CHID BENZ jukwaani nakuanza kuongea vitu vingi sana ambavyo vilimkwaza KAMANDA KALAPINA kitu kilichomfanya PINA apate hasira baada kumskia CHID BENZ akisema eti hajui ile show ni ya nani? wakati muda wote alikuwepo kwa show na CHID BENZ  hakuwa na nia mbaya kupanda katika jukwaa la KIKOSI alipanda kumpa BIG UP NIKI MBISHI  baada ya  kuimba ngoma mpya ambayo aliitambulisha juu ya jukwaa iliyokuwa Inamchana NEY WAMITEGO-- NGOMA INAITWA MTOTO NEEMA akimaanisha NEY WAMITEGO hiki ndicho kilimfanya CHID BENZ ashuke kutoka V.I.P na kuja V.I.ME ilikokuwa inafanyika performance ya KIKOSI CHA MIZINGA lakini wafuasi wakikosi walimpelekea habari tofauti KAMANDA PINA ndipo ugomvi ukatokea lakini CHID BENZ hakuwa na nia mbaya wala ugomvi ila nimizuka tu yakisaniii ilimponza RAPPER CHID BEENZ............................!!!!!!!!