Yakuza

Yakuza

blog

blog

EXTREAM

tangazo

tangazo

TANGAZA NASI

Sunday, 28 December 2014

USIKU WA USWAZI NA WASWAZI WENYEWE YAFANYIKA DAR LIVE

Kundi la Umeme wakifanya yao stejini kwenye shoo ya usiku wa waswazi.Picha na Pamoja Blog
Kundi la Yakuza Mobb wakitoa burudani ya nguvu.
TID a.k.a "Mnyama" akitoa burudani ya nguvu kwenye shoo ya usiku ya uswazi na waswazi wenyewe
Chid Benz  akiimba na mashabiki wake 
Kala Pina a.k.a “Mbuge Mtarajiwa’’ akitoa burudani ya nguvu ndani ya Dar Live
Msanii Inspector Haroun a.k.a Babu akiwapagawisha mashabiki wake kwa ngoma za kitambo.
Mkaanga Sumu akifanya ya kwake kwenye stage
Baadhi ya mashabiki waliofika kwenye shoo ya Usiku wa Uswazi na wasaswazi wenyewe
Wadau wetu wakiwa kwenye picha za pamoja

Monday, 1 December 2014

YALIYOJIRI KWENYE SHOO YA UZINDUZI WA VIDEO MPYA YA MIRRORS

Wema Sepetu  kaongea jambo kwenye Usiku wa Mirrors ROAD to Success at New Maisha Club Dar
Mirrors akiwaburudisha mashabiki wake waliofika kwenye shoo yake ya ROAD to Success at New Maisha Club Dar
        Bonge la Mc Gilla ze Boss Usiku wa Mirrors ROAD to Success at New Maisha Club Dar
 B 12 ambaye kwenye Usiku wa Mirrors ROAD to Success at New Maisha Club Dar alikuwa ni MC
Petit Man akisungumza jambo kama MC kwenye Usiku wa Mirrors ROAD to Success at New Maisha Club Dar
Y-ton akitoa burudani
Cyrili akiwaburudisha mashabiki wake
Makomando walipanda kwenye stage kama suprise iliyokuwepo kwente Usiku wa Mirrors ROAD to Success at New Maisha Club Dar
Young D
Dully akifanya ya kwake kwenye stage
Wema Sepetu akitoa shukrani kwa mashabiki waliojitokeza kwenye shoo hiyo ya Mirrors
wakifuatilia video mpya ya Mirrors

Baadhi ya mashabiki waliofika kwenye Usiku wa Mirrors ROAD to Success at New Maisha Club Dar