Tuesday, 16 September 2014
USIKU WA DERA NDANI YA NEW MAISHA CLUB DAR-ES-SALAAM KILA JUMATANO.
Kila jumatano ni Usiku wa Dera club Maisha Dar-es-salaam njoo ukiwa umevali Dera kali ili upate zawadi kutoka Ndio Fashion Kinondoni kwa kawaida mlangoni utalipia tsh 10,000/= na usiku huu watoto wakike hukatika sana viuno katika mapigo ya ngoma za Kibaokata mapigo ya asili ni mapigo mazuri njoo jumatano na kila jumatano usikose.
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments :
Post a Comment