Yakuza

Yakuza

blog

blog

EXTREAM

tangazo

tangazo

TANGAZA NASI

Sunday, 30 November 2014

PICHA: DIAMOND PLATNUMZ AFANYA KWELI TUZO ZA CHANNEL O NCHINI AFRIKA KUSINI

Diamond Platnumz akiongea machache baada ya ushindi huo wa kishindo. 
MSANII Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’ ametwaa tuzo tatu za Channel O jana usiku nchini Afrika Kusini. Tuzo hizo ni; Most Gifted new comer, Most Gifted Afropop na Most Gifted East kupitia wimbo wake wa Number One.
Diamond Platnumz akipozi baada ya kutwaa tuzo tatu za Channel O jana usiku nchini Afrika Kusini.
Mrembo Zari anayedaiwa kuchukua nafasi ya Wema Sepetu akiwa ameshika tuzo za Diamond.
Mama mzaa chema, Sanura 'Sandra' Kassim katika pozi

Kupitia ukirasa wake wa Facebook Diamond amewashuru sana mashabiki wa wote walio msupport.
"Kiu kweli, haikuwa rahisi kabisa.. lakini kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu na support kubwa mliyonipa iliwezesha Bongo Flavour yetu kuandika historia mpya kwenye ramani ya muziki wa Afrika...Hii inaonyesha ni jinsi gani umoja ni nguvu na pia jinsi gani muziki wetu ukisupportiwa na kupewa kipaumbele unaweza kufika mbali zaidi... Shukrani sana kwa @channeloafrica @channelotv kwa kuniona na kuthamini kipaji changu, My Family, Management, Media zote zilizokuwa zikinisupport, Watangazaji, Wasanii, Wadau na bila kuwasahau wapendwa wangu" - Ameandika Diamond 
Diamond katika pozi na wadau.
Diamond katika pozi na wadau pamoja na mama yake mzazi, Sandra (wa pili kulia).

Monday, 17 November 2014

YALIYOJIRI KWENYE PARTY YA KIBAO KATA ILIYOFANYIKA AZURA



Hyperman HK (aliyeshika mike) ambaye siku ya party hiyo alikuwa ni mc wa tukio zima na katikati ni Dj Ommy

Kundi la kibao kata likitoa burudani kwenye party iliyofanyika Azura karibu na fukwe za bahari ya Hindi
Warembo wa kibao kata wakikata mauno kwenye party hiyo 
Ilikuwa ni nimaaa sana
Mc Babu Ayubu akitoa burudani kwenye party ya kibao kata iliyofanyika Azura
Baadhi ya watu waliofika kwenye party hiyo
Picha hizi hapa chini zinawaonesha wanamitindo wakipita na mavazi mbalimbali ya ufukweni

Msanii chipukizi kwenye nyimbo za mwambao akifanya ya kwake
Wadau wakifuatilia party hiyo

PICHA ZA RED CARPET YA KIBAO KATA PARTY














Tuesday, 11 November 2014

THE BIGGEST SUPPRISE BIRTHDAY PARTY NA UTAMBULISHO WA PAM DAFFA AT NEW MAISHA CLUB DAR ES SALAAM TAREHE 09/11/2014.

Hyperman Hk akiwa na Redds Miss Tanzania Talent wakifanya kazi katika jukwaa la New Maisha Club Dar walifanya pouwa sana katika usiku wa kuzaliwa Gilla ze Boss na PAM daffa kuzaliwa katika game ya Bongo Flavour.
                                        Redds Tanzania Miss Talent 2014 anaitwa NICOLE SARAKIYA




                   Nai Nai mrembo huyu ndio video Queen katika video ya kwanza ya Ommy Dimpoz iliyomtoa katika game ya Bongo flavour alitisha sana katika The Biggest supprise Birthday Party New Maisha Club Dar jumapili tarehe 09/11/2014.
                                               Zola DEE  a.k.a Unde ngumi mia kila sekunde alikuwepo pia




Country Boy alipiga show yakinyama sana usiku huo pia alitangaza kuwa jumapili ya wiki hii anazaliwa New Maisha Club Dar atakuwa na wasanii kibao wakimsupport bila kumsahau Kajala ndio atakayehost huo usiku wakuzaliwa Country boy.



Yakuzamob4ever wakifanya kazi nyingine katika jukwaa hahahahaaa waliamsha sana katika usiku wa Pam Daffa ilikuwa noumaa sana watu walishangaa kuona mapacha hawa wanafanya music na kufanaya pouwa sana hii siku ilikuwa ni New Maisha Club Dar es salaam jumapili tar 09/11/2014.

PAM DAFFA ni msanii aliyezaliwa katika game ya Bongo flavour alifanya pouwa sana akiwa na kaka yake Mesen Selekta, Pam Daffa alikinukisha sana mashabiki wake walipenda sana walichokifanya katika jukwaa la New Maisha CLub Dar na ilikuwa ni siku ambayo Gilla ze Boss anazaliwa ilikuwa pouwa sana.
                                     Mesen Selekta akiwa na DaDa yake Pam Dee katika performance.






                               Keki ya Gilla ze Boss na Pam Daffa at Club Maisha Dar-es-salaam.
                      Dj Spar akimuogesha Gilla Ze Boss siku yakuzaliwa kwake safi sana.
                            Gilla ze Boss siku ya kuzaliwa kwake New Maisha Club Dar es salaam.






Dvj Ommy Crayze , Mesen Selekta, Pam Daffa na Gilla Ze Boss katika siku yakuzaliwa New Maisha Dar es salaam show ilikuwa kali na watu walikuwa wengi ilikuwa hatari sana.

                                  Dvj Ommy Crayze na Gilla Ze Boss katika mpango mzima wakula keki.