Yakuza

Yakuza

blog

blog

EXTREAM

tangazo

tangazo

TANGAZA NASI

Tuesday, 7 October 2014

PROFFESOR JAY MWANALIZOMBE ANAVUKA MAJI HADI CLUB KAKALA KIGAMBON JUMAMOSI HII

Mwanalizombe studio inamdondosha Proffesor Jay Club kakalA jumamosi hii katika club yakijanja. Usiku huu utapambwa na Jay Chid Benz aka King kong kuanzia saa tatu usiku mpAka majogoo. JAY atapiga ngoma zake zote kali za mwanzoni mpaka hizi mpya so jukwaa siku hiyo  litawaka moto.Mlangoni utalipia buku nane kwa atakae wahi kabla ya saa sita atalipia buku saba tu. Usikosee.

0 comments :

Post a Comment