Tuesday, 7 October 2014
PROFFESOR JAY MWANALIZOMBE ANAVUKA MAJI HADI CLUB KAKALA KIGAMBON JUMAMOSI HII
Mwanalizombe studio inamdondosha Proffesor Jay Club kakalA jumamosi hii katika club yakijanja. Usiku huu utapambwa na Jay Chid Benz aka King kong kuanzia saa tatu usiku mpAka majogoo. JAY atapiga ngoma zake zote kali za mwanzoni mpaka hizi mpya so jukwaa siku hiyo litawaka moto.Mlangoni utalipia buku nane kwa atakae wahi kabla ya saa sita atalipia buku saba tu. Usikosee.
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments :
Post a Comment