Yakuza

Yakuza

blog

blog

EXTREAM

tangazo

tangazo

TANGAZA NASI

Friday, 5 April 2013

HII NDIO LIST KAMILI YA WASANII WATAKAO PERFORM SHEREHE ZA KUAPISHWA RAISI UHURU KENYATA

Picha za baadhi ya wasanii na majina waliotajwa kuperfom kwenye sherehe za kuapishwa kwa Raisi mpya wa Kenya , Kenyata, leo hii. Nimepokea list kamili ya wasanii watakaoshiriki na safari hii Jaguar hakuachwa nyuma. Wakati huo msanii mwingine kutoka nchini Kenya PREZOO yuko hapa nchini akitambulisha nyimbo yake mpya na Baadae usiku atakua ndani ya NEW MAISHA CLUB akifanya show kali



 
List hiyo ni Daddy Owen, Jaguar, Emmy Kosgey, Rufftone, Ringtone, Abass, V6, Sauti Sol, Sarakasi Dancers, Madtraxx, ambao watu wengi walikuwa wakitegemea kuona list ya majina haya.






Wengine ni pamoja na Elsie na Visita, walioimba wimbo wa jubilee, pamoja na Ally B, Gkon na  Kavi Pratt

 

0 comments :

Post a Comment