![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj5eAQGUfHbLGD0YmF6-nmZ-o7eFtbTZXB3uL0RblVnWvbDd42vArkC7g48CRV_H1ANcLt88ZB0rzYoSGN41CPhD5woxFRVcm-Vstd0-uQal7alF8f_2VOeLqpveTwsVyRxHgQY8B33pQw/s640/Screenshot+2013-04-16+at+12.40.01.png)
Hivi ni kwanini wasanii wengi awapendi kujali swala la
mawasiliano yao, maana saa nyingine watu wanawatafuta kwa ajili ya kuwapa
(kazi) madili ya shows na vinginevyo, wanaishia kuomba kwa watu wengine ili
kuwapata wao..Leo hii Roma ameamua kutoa mawasiliano yake, na hivi ndivyo
unaweza kuwasiliana nae. pichani ni Roma na mama mtoto wake Roma wa Tongwe
KUNIPATA R.O.M.A facebook account- Roma tongwepage R.O.M.Aface book group
0 comments :
Post a Comment