Friday, 19 September 2014
MWANAMUZIKI WA BONGO FLAVOUR TANZANIA JUMA JUX HIVI KARIBUNI KAACHIA WIMBO MPYA UNAOKWENDA KWA JINA LA SISKII.
Mwanamuziki wa kizazi kipya Juma Jux ameamua kuachia wimbo wake mpya baada yakuacha nyimbo zake zilizotangulia kufanya vizuri katika chart zote East Afrika na Dunia nzima kwa ujumla. Juma Jux alisema kuwa wimbo mpya anaouachia umeandikwa na Mwanmuziki anaekwenda kwa jina la Mabeste pia Bongo Flava artist na kumpatia Juma Jux aufanyie kazi yaani afanye recording na kuupeleka hewani wimbo huu Umerekodiwa na mtayarishaji Maneke wa AM.RECORDS na umeshasamabazwa vituo vyote vya Radio hapa Tanzania na katika mitandao yakaijamii pia. Hivyo tembelea mitandao yote wimbo huu unapatikana. Pia endelea kusubiri hivi karibuni video ya wimbo huu utakamilika ...Thanx
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments :
Post a Comment