Tuesday, 23 September 2014
TOKA CHEMSHA BONGO MPAKA SASA DADDY PROFFESOR JAY ANASHINE KAACHIA NGOMA MPYA MBILI DOUBLE CHAFU 3 NA KIPI SIJASIKIA.
Proffesor Jay msanii mwenye A.K.A nyingi sana kutokana na ukubwa wake katika sanaa toka mwaka 1980 mpaka sasa anashine tu. Proffesor Jay ni msanii mkubwa mwenye nguvu zaidi katika hii sanaa ya Muziki wa kizazi kipya. Jay ni mtu ambaye alisimamisha huu Muziki wa Bongo Flava kuwa hapa ulipo kuwepo. Muziki huu Dady ndio kautambulisha sana katika jamii hii ya Tanzania.Proffessor jay A.kA Jay wamitulinga,Jay Tunakuzimia,Nigga Jay, na Majina mengine kibao alipewa katika harakati za Muziki wa BOngo Flavour,.nIGGA jay kaachia ngoma mpya mbili kwa mpigo Chafu 3, na kipi sijasikia na hizi zote zina video zake tayari soon tu zinakuwa hewani....Stay Tune
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments :
Post a Comment