Yakuza

Yakuza

blog

blog

EXTREAM

tangazo

tangazo

TANGAZA NASI

Saturday, 20 September 2014

PEACE ONE DAY CONCERT THIS SUNDAY AT NEW MAISHA CLUB DAR ES SALAAM .

Peace One Day ni siku ya Amani Duniani siku hii inaadhimishwa Jumapili hii tar 21/09/2014 New Maisha Club Dar es salaam  onyesha hili litasindikizwa na wasanii wa kizazi kipya kama Banana zorro, Barnaba, khadija, Toto the bingwa, Q-jay kwa mara ya kwanza tokea aokoke na Alice maadhimisho haya   yataanza saa tatu usiku mlangoni utalipia tsh 10,000/=tu. Njoo ushuhudie usiku huu na njoo tuhamasishe amani Duniani.

0 comments :

Post a Comment