Saturday, 27 September 2014
REDDS MISS TANZANIA TALENT 2014 NDANI YA NEW MAISHA CLUB DAR-ES-SALAAM.
Redds Miss Tanzania Talent inafanyika New Maisha Club Dar tar 03/09/2014. Kutakuwa na mamiss 32 watakaochuana vikali katika jukwaa la New Maisha Club. Miss wote wataonyeshana uwezo usiku huo. Msanii Omy Dimpoz atawasindikiza warembo hawa kwa kupiga show kali kama zawadi ya mashabiki zake. Mlangoni utalipia tsh 15,000/= na tshs 30000 kwa Maisha Lounge. Usiku huo utakuwa na suprise kibao kwa wewe mpenda burudani.
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments :
Post a Comment